Sunday, April 28, 2013

WAKUU WA WILAYA KUCHEZA NA WABUNGE , NI KUCHANGIA KAMPENI YA WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA KUSAIDIA ALBINO

1

Mkuu wa Wilaya ya Bahi (Bety Mkwasa) akihojiana  na Mkurugenzi wa kituo cha Redio cha ABN 

BODI YA MIKOPO YATANGAZA KUANZA KUPOKEA MAOMBI



Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu, Bw. Cosmas Mwaisobwa akisisitiza jambo mbele ya waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam alipokua akitangaza kuhusu kuanza kupokea maombi ya mikopo kwa wanafunzi wa vyuo vikuu kuanzia 1 Mei, 2013.

RAIS WA KENYA UHURU KENYATA KWA MARA YA KWANZA NA MARAIS WA EAC.

8E9U0766


Marais  Wa jumuiya ya Afrika Mashariki waliohudhuria Mkutano wa Wakuu wa jumuiya hiyo katika hoteli ya Ngurdoto jijini Arusha leo.Kutoka kushoto ni Rais Pierre Nkurunzinza wa Burundi,Mwenyekiti wa jumuiya hiyo Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda,Mwenyeji wa mkutano Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na Rais Mpya wa Kenya,Uhuru Kenyatta


MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA TAASISI YA 'CONFUCIUS' YA CHUO KIKUU CHA DODOMA LEO, PIA AKAGUA UJENZI WA CHUO CHA AFYA UDOM

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akipongezana na Balozi wa China nchini Tanzania, Lu Youqing, baada ya kuzindua rasmi Taasisi ya 'Confucius' ya Chuo Kikuu cha Dodoma, ambayo ni maalumu kwa ajili ya kufundishia Lugha na Tamaduni za Kichina. Uzinduzi huo umefanyika leo Aprili 28, 2013 Chuo Kikuu cha Dodoma

KIKABA AKIPELEKWA KITUONI MORO NA ASKARI MAGEREZA


Askari magereza na askari kanzu wakiwa wamemdhibiti kijana anayedaiwa kuwa ni kibaka baada ya kuiba simu ya mkononi katika stendi kuu ya daladala ziendazo nje ya Manispaa ya Morogoro wakati wakimpeleka katika kituo kikuu cha polisi mkoani Morogoro. 

BREAKING NEWS...IRINGA SI SHWARI MVUTANO KATI YA MACHINGA NA POLISI WATISHIA USALAMA



Machinga wakiendelea na  shughuli zao kama kawaida  eneo la mashine  Tatu asubuhi  hii kutokana na kauli  ya mbunge Msigwa kuwaruhusu kurejea ,chini polisi  wakiwa eneo hilo

RAIS KIKWETE, PIERRE NKURUNZINZA NA UHURU KENYATTA WAKIAGA ARUSHA LEO

8E9U0992

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,Rais Pierre Nkurunzinza wa Burundi na Rais Mpya wa Kenya Uhuru Kenyatta wakiwaaga wajumbe waliohudhuria mkutano wa Wakuu wa  nchi za Jumuiya ya Umoja wa Afrika ya Mashariki uliofanyika katika hoteli ya Ngurdoto jijini Arusha leo.

PIGO KWA TAIFA LA KENYA: MUTULA KILONZO AFARIKI DUNIA.

 
PICHA YA MAREHEMU MUTULA KILONZO
Mutula Kilonzo ambaye ni Senator wa Makueni amekutwa amefariki nyumbani kwake ambapo pia ni ranch anapofuga wanyama mbalimbali. wakiwemo SIMBA..

CHANGAMOTO ZA ELIMU: ELIMU POPOTE, CHAMSINGI KUELEWA



Kupata Elimu na maarifa katika mazingira yaliyoandaliwa vizuri ni changamoto sana kwa Waafrica. Katika Afrika hii kuna watu wanapata ELIMU kwa raha bila hata chengachenga za SHIDA au UGUMU wowote. Lakini pia kuna watu kwanza tu kuwahi kuona jengo lililojengwa kwa Tofali na kuwekewa sakafu ...hawajawahi kuona sembuse ubao na vifaa vyingine vya kujifunzia.

AJALI MBAYA: PAROKO WA RC IFUNDA APOTEZA MAISHA KATIKA AJALI AKITOKA MSIBANI NJOMBE


Saturday, April 27, 2013

MH. LEMA KUFIKISHWA MHAKAMANI J'TATU

MAMBO yamezidi kumwendea Mrama Mbunge wa Arusha Mjini, (Chadema) Mheshimiwa Godbless Lema baada ya Jeshi la Polisi kutangaza rasmi kwamba itamfikisha Mahakamani, siku ya Jumatatu.

Madawa ya kulevya yakamatwa katika basi la ziara la mwanamuziki Justin bieber.



Polisi wa nchini Sweden wamedai kupata dawa za kulevya katika basi linalotumiwa na mwanamuziki Justin Bieber anapofanya ziara zake za kimuziki.

JIBABA.....LIVE NA DENTI GESTI WAKI..............

MfanyabiAshara ‘alwatani’ Bongo, mkazi wa jijini Dar, Allain Tajiri amekumbwa na skendo nzito baada ya kufumaniwa na mwanafunzi wa sekondari wa kidato cha pili mwenye umri wa miaka 16.

OMBI: NATAFUTA MCHUMBA, HAYA SASA VIJANA WANGU MKO WAPI JAMANI????????


Mary ndo jina langu natokea kahama,na nina diploma, natafuta mchumba awe mkristo,mrefu, mweupe,asivute wala kunywa pombe,awe na kazi na elimu angalua
chuo kikuu,wacliana na mm kwa no.0758051743


......

MMH URODA HADI NA MBUZI.....HII NOMAA SANA

Katika  hali  ya  kushangaza, jamaa  mmoja  nchini  Nigeria  amenaswa  live Bila chenga  akiurodika  na  Mbuzi ,jamani huu si umwehu!!!!!!....

Friday, April 26, 2013

HABARI KUTOKA MAGAZETI MBALIMBALI YA HAPA KWETU LEO TAR 26/4/2013

BREAKING NEWS: GODBLESS LEMA AKAMATWA....POLISI WAVUNJA MLANGO ILI KUMKAMATA NA KUMTIA PINGU



Baada ya mabishano ya muda mrefu nyumbani kwa kada huyu na Mbunge wa Arusha mjini na uvamizi wa Polisi wakati wa usiku  wa manane, Mh. Lema alikubali kukamatwa na kuchukuliwa na gari la polisi usiku na kupelekwa kituo kikuu cha polisi Arusha yaani Central Polisi.

WABUNGE WAUNGANA KUKATAA BAJETI WIZARA YA MAJI



Bajeti ya Wizara ya Maji ya mwaka wa fedha 2013/14, iliyokuwa ipitishwe na Bunge jana, imekwama na kuahirishwa hadi Jumatatu.

Hatua hiyo ilifikiwa, baada ya wabunge kutoridhika na kiwango cha fedha kilichotengwa kwa ajili ya wizara hiyo.

Thursday, April 25, 2013

KENYA: LIST OF CABIMET MEMBERS NOMINATED BY PRESIDENT UHURU


President Uhuru Kenyatta and his deputy William Ruto announced Cabinet members at State House, Nairobi on April 25, 2013.
President Uhuru names cabinet members
On April 23, 2013, President Uhuru Kenyatta named four out of the 18 members of his Cabinet and reassured Kenyans of his commitment to put in place a government that will not only deliver on the Jubilee Coalition’s pledges but also transform the country.

BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI LA KENYA "WANAWAKE 6 KATI YA MAWAZIRI 16"


Baada ya akipindi kirefu cha kusubiri nani atachaguliwa na nani ataachwa katika uteuzi wa Baraza la Mawaziri. Hatimaye siku yenyewe imefika. Raisi wa KENYA Bwana UHURU KENYATA ametangaza majina 16 ili kukamilisha Baraza la Mawaziri la nchi hiyo.

KUJIFUNZA HESABU LAZIMA UWE NA VISODA: JE UNAKUMBUKA HIYO????


Katika pitapita za kutafuta Habari, nilikutana na watoto hawa wanaosoma shule ya msingi. Niliwahoji kwani walionekan kama vile wanatafuta kitu katika maeneo mbalimbali kuzunguka nyumba.
Baada ya kuwahoji wakasema wanatafuta VIFUNIKO VYA SODA AU BIA (VISODA) kwa ajili ya kuhesabia shuleni.
Wakasema wameambiwa watafute visoda vya kuhesabia shuleni.


"Tunasaka vifuniko vya soda (visoda) kwa ajili ya kujifunzia kuhesabu shuleni"
Shule na Kidumu , Ufagio na Visoda vya kuhesabia
Tumetoka mbali sana...

UNAPAJUA KIGOMA?????


Kigoooooooooooma aeehh kigoma leleeeeeeeee............Leta tutingite kigoma lalalalalala....
Wadau wakigoma mpooo!!!!....
Wadau wenzenu hawa hapa.

GODBLESS LEMA AHUSISHWA NA MAUAJI YA MWANAFUNZI WA CHUO CHA UHASIBU ARUSHA



MKUU wa Mkoa wa Arusha, Magesa Mulongo ameamuru polisi kumkamata Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema pamoja na wanafunzi walioshiriki kurusha mawe baada ya kutokea vurugu zilizotokana na kifo cha mwanafunzi wa mwaka wa pili, Chuo cha Uhasibu Arusha, Henry Kago (22).

MTU MMOJA ADAIWA KUFA MAJI COCO BEACH MCHANA HUU



Mwili wa marehemu ukiwa umefunikwa Khanga na wasamaria wema katika fukwe za Coco Beach....

TRAFIKI AKABWA KOO....!!! POLISI WALAANI NA KUDAI WAMEDHALILISHWA


Siku moja baada ya kituo cha ITV kuonesha mzozo uliosababisha askari wa usalama barabarani kuwa katika wakati mgumu kutokana na kukunjwa na raia wakati akiamua ugomvi baina ya madereva wawili baada ya kutokea ajali , jeshi la polisi mkoa wa kipolisi Kinondoni limelaani na kutoa onyo kali na kuongeza kuwa tukio hilo limelidhalilisha jeshi la polisi na kwamba halivumiliki.

BIASHARA YA UCHANGUDOA JIJI LA DAR

Machangudoa wakiwa katika viwanja vyao vya kujidai katika jiji la Dar.
Hili ni pozi la Kusubiria wateja, picha hii ilipigwa mida ya saa tatu usiku.
Bila shaka Biashara Hii serikali imeshindwa kuizuia kabisa.
Toa maoni yako nini kifanyike??????

Habari na Global Publishers..

IDADI YA WALIOKUFA DHAKA, BANGLADESH KUFIKIA 161


Idadi ya waliokufa kutokana kuporomoka kwa Jengo huko Dhaka, Bangladesh imeongezeka na kufikia watu 161. Habari hizi zimetolewa na maafisa wa Habari wa serikali.

Wednesday, April 24, 2013

TAKRIBANI WATU ZAIDI YA 100 WAFARIKI DUNIA BAADA YA GOROFA KUPOROMOKA BANGLADESH LEO

Jengo la gorofa nane lililokuwa na viwanda vya nguo na maduka limeporomoka leo mchana nje ya jiji la Dhaka, Bangladesh na kuuwa watu takribani 100 na kujeruhi watu wengine zaidi yaa 1000. Maafisa wa habari wa nchi hiyo wamesema vikosi vya uokoaji vinaendelea na shughuli ya kufukua vifusi ili kuweza kuopoa miili ya watu iliyofukiwa. TV imeonyesha wafanyakazi wanawake wakiokolewa na wengine walionekana wakiwa wamepoteza fahamu.

BINTI ANUSURIKA KUBAKWA BAADA YA KUKATIZA MITAA YA SINZA AKIWA AMEVAA KIMINI


Wanawake ambao majina yao hayakupatikana, wakazi wa Sinza, Dar es Salaam wamekumbana na sekeseke  la aina yake la ubakaji kisa kikiwa ni uvaaji wa vimini ambao kwa sasa umeshika kasi kila kona Bongo...

CHANNEL 3 ZA NGONO ZARUHUSIWA KUONESHWA NA MAMLAKA YA MAWASILIANO YA AFRIKA KUSINI


Mamlaka ya mawasiliano nchini Afrika Kusini, ICASA, imeiruhusu kampuni ya matangazo ya TV (king’amuziki) ya TopTV kurusha channel tatu za ngono (porn) Playboy TV, Desire TV na Private Spice.



TV hizo zitakuwa zikionekana kuanzia saa 2 usiku hadi saa 11 alfajiri. Watazamaji watakuwa wakitumia namba ya siri kuziona TV hizo.

VURUGU KUBWA CHUO CHA UHASIBU:....MKUU WA MKOA APIGWA MAWE, GODBLESS LEMA AFICHWA..!!




Vurugu  kubwa  zimeibuka  chuo  cha  uhasibu cha Arusha   baada ya mwanachuo kuchomwa kisu na mwanaakijiji na kufariki dunia....

GODBLESS LEMA ANASAKWA NA POLISI KWA NGUVU ZOTE....WANADAI KUWA YEYE NDO MWANZILISHI WA VURUGU ZA ARUSHA LEO



Kikosi cha kutuliza ghasia mkoani Arusha kililazimika kutumia Mabomu ya Machozi kuwatuliza wanafunzi waliokuwa wakishinikiza kuandamana baada ya mwanafunzi mwenzao kuuawa kwa kuchomwa kisu na watu wasiojulikana majira ya saa nne usiku wa kuamkia leo. 

PICHA: HUU NDO UNYAMA WALIOTENDEWA WANAFUNZI WA CHUO CHA UHASIBU ARUSHA




Picha  ya  marehemu  Henry Koga  baada  ya  kuchomwa  kisu  na  kufariki  hapo hapo  jana  usiku  katika  chuo  cha  uhasibu  Arusha.....

Tuesday, April 23, 2013

HAYA ...........HUYU NAYE YUKOJE???????

Hata haya sikuizi yanafanyika hadharani?????
 Hivi kweli huu ni uungwana?????

MADIRISHANI KWA WATU NOMAA????


Waungwana ….huku duniani kuna VIJAMBO SANA!!!!!!
Kila mtu anatafuta jinsi ya kuufanya moyo wake upate angalao cha kuufurahisha, lakini kuna VIJAMBO vingine ni BONGE la maumivu ya moyo na wala si starehe hata kidogo….

WATU 185 WAUAWA KATIKA MAPIGANO NIGERIA




 Wapiganaji wa kundi la Boko
Zaidi ya raiya mia moja na themanini na tano wamefariki huku nyumba elfu mbili zikiharibiwa kutokana na mapigano makali kati ya jeshi na wapiganaji wa Kiislamu kaskazini Mashariki mwa Nigeria.
Hii ni kwa mujibu wa taarifa rasmi iliyotolewa na Serikali ya mji wa Baga na Ofisa Serikali hiyo Bwana Lawan Kole.

UBALOZI WA UFARANSA LIBYA WALIPULIWA



Bomu limelipuka nje ya ubalozi wa Ufaransa katika mji mkuu wa Libya, Tripoli na kuwajeruhi walinzi wawili huku ikisababisha uharibifu mkubwa.
Mlipuko huo ulisababisha uharibifu katika sehemu moja ya ofisi hizo na pia kuharibu nyumba jirani.
Mwandishi wa BBC mjini Tripoli, Rana Jawad anasema kuwa inaaminika kuwa mlipuko huo ulisababishwa na gari lililokuwa na mabomu.
Rais wa Ufaransa, Francois Hollande, aliitaka serikali ya Libya kuchukua hatua za haraka kukabiliana na waliosababisha shambulio hilo.
Aliongeza kwamba shambulizi hilo lililenga nchi za kigeni zinazopambana dhidi ya ugaidi.
Balozi za kigeni nchini Libya zimewahi kushambuliwa katika siku za nyuma, lakini hili ndilo shambulizi la kwanza kubwa dhidi ya ubalozi wa kigeni mjini Tripoli.
Shambulizi liliwahi kufanywa dhidi ya ubalozi wa Marekani mjini Benghazi mwezi Septemba mwaka jana na kusababisha kifo cha balozi Christopher Stevens pamoja na maafisa wengine wamarekani .
Shambulio la leo lilifanyika muda mfupi baada ya saa kumi na moja asubuhi katika mtaa wa kifarahari mjini Tripoli.
Wakaazi wa eneo hilo walighadhabishwa sana na shambulizi hilo na kulalamikia ukosefu wa ulinzi mzuri wa sehemu hiyo.
Waziri wa mambo ya nje wa Libya, Mohammed Abdel Aziz alilaani vikali shambulizi hilo, ingawa hawajaeleza ni nani wanayemshuku kulifanya. 

"NIMEAMBUKIZA UKIMWI MAELFU YA WATU JIJINI DAR"...JANE WA MWENGE

WEBSITE YA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA YABOMOLEWA NA MAHACKER



Kinachooneka  ni  kwamba baadhi ya   Ma  IT  wa  nchi  yetu  ni  wazembe na  kwamba  wapo  kushibisha  matumbo  yao...!!!

AFANDE AKICHEZEA MAKALIO KWA KISINGIZIO CHA UKAGUZI


Pengine hizi  ndo  starehe  pekee  wanazozipa  "maafande" hasa  wale  wanahusika  na  ulinzi  wa  mageti.....


Miongoni  mwa  majukumu  yao  ni  "kuwapapasa"   na "kuwashika- shika" watu wanaofika  katika  maeneo  hayo  yenye  ulinzi  mkali  ili  kujiridhisha  kwamba  hawana  silaha  au  kitu  chochote  kibaya....