Tuesday, April 23, 2013

HAYA ...........HUYU NAYE YUKOJE???????

Hata haya sikuizi yanafanyika hadharani?????
 Hivi kweli huu ni uungwana?????
Wakati wengine wakishangilia na kufurahia mabao wa mpira uwanjani, Huyu jamaa naye anafunga magoli yake katika uwanja wa siri.
Usiniulize kafunga mangapi, kwani mchezo wake haukua na MPIRA, KOCHA wala WAAMUZI lakini cha kushangaza alikua akitokwa jasho jembambaaaaa.
Haya kazi kwako wewe, sijui huu mchezo wauonaje na Je kwa nini wakachezee kwenye uwanja wa Mchezo mwingine…………….??????
Au sekta hiyo haiwezi kujenga uwanja wake…………….??????
Nazani umeelewa………


No comments:

Post a Comment