Tuesday, April 23, 2013

MADIRISHANI KWA WATU NOMAA????


Waungwana ….huku duniani kuna VIJAMBO SANA!!!!!!
Kila mtu anatafuta jinsi ya kuufanya moyo wake upate angalao cha kuufurahisha, lakini kuna VIJAMBO vingine ni BONGE la maumivu ya moyo na wala si starehe hata kidogo….
 Huyu jamaa katika pitapita zake alisikia sauti akazani LABDA wezi wamevamia katika nyumba hiyo. Sasa katika kujaribu kuona jinsi gani anaweza kujua kulikoni, ikabidi achungulie kwa Dirishani …………Mmmmh kilichompata Jamaa huyu ndo kama unavyoona katika PICHA kwani alijikuta akitaka kutoboa hata UKUTA kutokana na Hasira  Loooh!!!!! HATARI JAMANI, Sasa sijiu kama lile Dirisha lingekuwa wazi au pangekuwa ni Mlango na ungekuwa wazi Huyu jamaa si angeuwa Mtu kweli???
Sasa ushauri wa BURE ukisikia kilio cha watu ndani ya nyumba yao usipende kuchungulia, kwani unaweza kujisababishia matatizo ya MOYO BUREEEE kama huyu jamaa. 

No comments:

Post a Comment