Tuesday, May 7, 2013

HATIMAYE BALOZI WA PAPA AONDOKA ARUSHA.



Mwakilishi wa Papa akiwa na Askofu Lebulu akitoka kwenye VIP ya Arusha Airport kuelekea kwenye ndege ya Precision .Ilikuwa ni dakika za majonzi na masikitiko kwa kundi lote lililokuwa limemsindikiza uwanja wa ndege Balozi wa Papa ambaye ameondoka leo mjini Arusha kuelekea Dar, baada ya kunusurika katika shambulio la bomu lililorushwa wakati akiwa mgeni rasmi kwenye uzinduzi wa kanisa la Mt. Joseph Mfanyakazi huko Olasiti Arusha.



Click image for larger version. 

Name: DSC00042.JPG 
Views: 0 
Size: 164.6 KB 
ID: 92800
 Hapa akisaidiwa na wafanyakazi wa Precision kukamilisha dokomenti zake za Usafiri, huku ulinzi ukiwa umeimarishwa 

Click image for larger version. 

Name: DSC00043.JPG 
Views: 0 
Size: 164.3 KB 
ID: 92801

Click image for larger version. 

Name: DSC00044.JPG 
Views: 0 
Size: 162.5 KB 
ID: 92802

Click image for larger version. 

Name: DSC00045.JPG 
Views: 0 
Size: 164.7 KB 
ID: 92805

Click image for larger version. 

Name: DSC00048.JPG 
Views: 0 
Size: 165.0 KB 
ID: 92806

No comments:

Post a Comment