SEHEMU YA NYUMBA ILIYOHARIBIWA NA MLIPUKO WA BOMU JANA- HUKO ARUSHA.
Ona vile mlipuko huo ulivyosababisha uharibifu mkubwa sana wa mali za kanisa hilo. Kama unavyoona hapa hili ni jengo la kanisa upande ambapo mlipuko huo ulitokea na kusababisha uharibifu mkubwa sana.
No comments:
Post a Comment