Tuesday, May 7, 2013

WATWANGANA MAKONDE, MMOJA AFARIKI DUNIA NA MUNGINE KULAZWA HOPSITALI YA BUSERESERE.


Watu wawili (pichani) wamepigana hadi mmoja wao kufa. na moja kalazwa katika hospitali ya Buseresere huku maiti ikihifadhiwa chumba cha maiti cha hospitali hiyo.

No comments:

Post a Comment