Friday, May 10, 2013

MAAJABU: PICHA ZA MIZOGA YA MBUZI NANE WACHINJWA MAKABURINI USIKU WA MANANE MOROGORO


Katika hali isiyo ya kawaida tumepokea taarifa kutoka kwa wafanyakazi  wa manispaa kitengo cha makaburi ya kolla wakidai kwamba usiku wa manane wa kuamkia juzii mbuzi nane wamechinjwa eneo la makaburi ya kola mkoani morogoro

Mizoga ya mbuzi hao waliochinjwa katika makuburi hayo kama ilivyokutwa wakati Mwenyekiti wa mtaa huo alipopita kukagua na kujioneo tukio hilo lililotokea katika makaburi ya kola mjini hapa.
Mwenyekiti  wa mtaa huo ambaye alifika eneo la tukio na kujionea  tukio hilo.akizungumza zaidi mwenyekiti wa mtaa huo amethibitisha kutokea kwa tukio hilo kwenye mtaa wake 
Mwenyekiti huyo akipokea taarifa za tukio hilo kutoka kwa mfanyakazi wa makaburi hayo 
Mwenyekiti wa mtaa akigeuza  mizoga hiyo eneo la tukio ambapo katika mbuzi waliochinjwa mmoja alikuwa na mimba na tulikuta kitoto
 cha mbuzi ambacho bado kilikuwa kina umbwa kwenye tumbo la mama yake aliyechinjwa kwenye makaburi hayo

No comments:

Post a Comment