
Habari zilizotufikia muda si punde unasema, Jeshi la Polisi Mkoani arusha unawashikilia watu nane wakiwemo Raia wanne wa Saudi Arabia na wanne ni Raia wa Tanzania. Watu hawa wako katika mikono ya polisi kwa uchunguzi zaidi.
Tutaendelea kuwapasha habari kadri zinavyotufikia.
No comments:
Post a Comment